Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TANZANIA imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya michuano ya kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, ijulikanayo kama CECAFA AFCON U17 Qualifiers baada ya ushindi wa mabao 5-0 kwenye mchezo wa Kundi A dhidi ya Sudan Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam leo.
Ushindi huo unaifanya Serengeti Boys ifikishe pointi sita baada ya mechi mbili na kupanda kileleni, ikiishusha Rwanda yenye pointi sita, lakini Tanzania wanapanda juu kwa wastani wao mzuri wa mabao.
Wachezaji wa Serengeti Boys wakishangilia ushindi wao mnono leo
Omar Yousef alianza kujifunga dakika ya 10 kuipatia Tanzania bao la kwanza kabla ya Kelvin John kufunga mabao mawili dakika za 45 na 60 na Agiri Ngoda naye kufunga mawili pia dakika za 72 na 79.
Serengeti Boys sasa wataingia kwenye mchezo mwisho na Rwanda kutafuta uongozi wa kundi kwa matarajio ya kupata mpinzani nafuu kidogo kwenye Nusu Fainali.
Ikumbukwe Tanzania ndiyo mwenyeji wa Fainali za AFCON U17 mwakani, ambazo mfumo wake wa kufuzu sasa umebadilishwa na kuwa Kanda badala ya droo inayohusiaha bara zima.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2OGbIxp
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms