Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC wanatarajiwa kuondoka jioni ya leo kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Arusha United ya Ligi daraja la Kwanza.
Simba leo wameendelea na mazoezi katika Uwanja wa Gymkhana mjini Dar es Salaam, baada ya hapo wanajiandaa na safari ya kuelekea mkoani Arusha kwa ajili ya mchezo huo wa kirafiki ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa Jumamosi wa Ngao ya Jamii dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza kuashiria ufunguzi wa pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online mjini Dar es Salaam, Kocha Mkuu wa Simba SC, Patrick J. Aussems alisema amecheza mechi mbili za kirafiki baada ya kutoka Uturuki walipoweka kambi na kuona mapungufu ya kikosi chake na kuyafanyia kazi.
“Tunajiandaa vyema, mechi hizi ninachoangalia ni kiwango cha wachezaji wangu na kupata mwanga, kwa mechi hizi sitaangalia matokeo zaidi kwani hapo baadae nahitaji vijana wangu wafanya kile ninachowapa sasa,” alisema.
Aussems alisema baada ya mchezo wa Arusha wataunganisha safari kwenda Mwanza kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Mtibwa kwa kuhakikisha wanapata ushindi katika mchezo huo.
Simba jana imerejea jijini kikitokea mkoani Lindi ambako juzi ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya wenyeji, Namungo FC na kutoka sare ya bila ya kufungana katika uzinduzi wa Uwanja wa Majaliwa, ambao upo chini ya Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2nBskv0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms