Na Mwandishi Wetu, IRINGA
TIMU ya Lipuli ya Iringa imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya kuibwaga Alliance FC kutoka mkoani Mwanza 1-0 katika mchezo wa mchana Uwanja wa Samora mjini Iringa.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, Miraj Athumani ‘Madenge’ dakika ya sita na sasa Lipuli ya kocha Suleiman Abdallah Matola inafikisha pointi sita baada ya kutoa sare tatu mfululizo katika mechi zake za awali.
Hali ni mbaya kwa Alliance FC iliyopanda Ligi Kuu msimu huu, kwani sasa inafikisha mechi tano bila ushindi, matokeo mazuri kwake yakiwa ni sare ya 1-1 ya African Lyon, tena nyumbani Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza.
|
Lipuli ya Iringa imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara |
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MNrkOe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms