Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Mtibwa Sugar leo Saa 10:00 jioni itacheza mechi ya kirafiki na Mawenzi Market Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro na baada ya hapo kesho asubuhi itapanda basi kuja Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo na AFC Leopards ya Kenya Jumapili.
Katibu Msaidizi wa Mtibwa Sugar, Abubakar Swabur ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba mchezo na Leooards, vigogo wa Kenya na Afrika Mashariki kwa ujuml utafanyika Saa 1:00 usiku Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam.
Kocha Zubery Katwila anataka kutumia michezo hiyo ya kirafiki kukiweka sawa kikosi chake wakati huu Ligi Kuu ya Tanzania Bara imesimama kupisha mchezo wa kimataifa baina ya Tanzania na Uganda utakaofanyika kesho mjini Kampala.
Mtibwa Sugar imeshinda mechi mbili kati ya tatu za awali za Ligi Kuu, 1-0 na Tanzania Prisons na 2-1 na Mbeya City zote Manungu, ikitoka kufungwa 2-1 na Yanga SC kwenye mechi ya kwanza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Na kocha Katwila, mchezaji wa zamani wa Mtibwa Sugar anataka kuendeleza wimbi la ushindi Ligi Kuu itakaporejea wiki ijayo na ndiyo maana anakiweka sawa kikosi chake kwa mechi za kujipima ili kuona mabadiliko baada ya kufanyia marekebisho makosa yaliyojitokeza kwenye mechi za awali.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2M0ZiyB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms