SHERIA ya msaada wa Teknolojia ya Video (VAR) itafanyiwa majaribio katika Ligi Kuu ya England kwenye mechi 15 baada ya mapumziko ya sasa ya kupisha mechi za kimataifa.
Sheria hiyo ya msaada wa video kwa marefa haikutumika kwenye Ligi Kuu ya England mwanzoni mwa msimu licha ya mafanikio yake katika Fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi.
Lakini ligi hiyo kubwa sasa inataka kuichukua sheria hiyo katika mechi zote kuanzia msimu ujao.
Na kutakuwa na majaribio ya mfumo huo ambayo yatafanyika kwenye mechi zaidi ya tano za Jumamosi Saa 9:00 jioni Septemba 15.
Mechi hizo ni zitakazozihusisha Arsenal, Chelsea na Manchester City ambazo zitatazamwa na Maofisa wa video huko Stockley Park.
Lakini uamuzi utakaochukuliwa kwenye video hautatumika uwanjani na hakutakuwa na mawasiliano baina ya marefa wanaochezesha mechi na Maofisa wa VAR.
Lengo la ni kuona kama Maofisa wa video wanaweza kumudu kufanya zoezi hilo kwenye mechi nyingi kwa wakati mmoja.
Ligi Kuu ya England ni kati ya ligi ambazo hazikuipokea sheria ya VAR haraka miongoni mwa ligi kubwa Ulaya.
Sheria hiyo imekuwa ikitumika kwenye ligi zote, Bundesliga na Serie A tangu msimu uliopita, wakati La Liga imeanza kuitumia msimu huu.
Teknologia hiyo ilitumika kwenye Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup msimu uliopita na itatumika zaidi msimu huu. VAR pia ilitumika kwenye fainali ya Kombe la FA.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2MNT1vj
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang VAR KUFANYIWA MAJARIBIO LIGI KUU ENGLAND WIKI IJAYO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/09/var-kufanyiwa-majaribio-ligi-kuu.html. Terimakasih atas perhatiannya.