Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
VIGOGO wa soka Tanzania, Yanga SC watakuwa na mchezo wa kirafiki Jumapili dhidi ya African Lyon kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Yanga SC imeamua kumenyana na wapinzani wao hao wa Dar es Salaam baada ya kufuta mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Singida United iliyopangwa kufanyika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma leo.
Baada ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuzuia timu kwenda Kigoma kwa sababu ya umbali, uongozi umefanikiwa kupata mechi ya karibu.
Yanga SC inataka kuutumia mchezo huu kuiandaa timu yake kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi Kuu, dhamira yake kubwa ikiwa ni kutwaa ubingwa wa.
Sasa kikosi cha Yanga kinaendelea na mazoezi Uwanja wa Chuo cha Maofisa wa Jeshi la Polisi, Kurasini mjini Dar es Salaam.
Mechi za Yanga za Ligi, pamoja na za Azam FC na Simba zimesimamishwa kupisha maandalizi ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kati ya Tanzania na Uganda Jumamosi mjini Kampala.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2wMvlgP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms