KOCHA Zinedine Zidane amedokeza yuko karibuni kurejea kazini. Kiungo huyo wa zamani wa Ufaransa amekuwa hana kazi tangu ajiuzulu ukocha wa Real Madrid baada ya kuwaongoza Los Blancos to kutwaa taji la tatu mfululizo la Ligi ya Mabingwa Ulaya mwezi Mei.
Lakini ameliambia Shirika la Utangazaji la Kispaniola, TVE kwamba amepanga kurejea uwanjani muda mfupi sana. Zidane amesema; “Ndiyo, kweli. Hivi karibuni nitarejea mazoezini kwa sababu ni kitu ninachokipenda na ambacho nimekuwa nikikifanya maisha yangu yote,”.'
Zidane anapewa nafasi kubwa ya kumbadili Jose Mourinho, iwapo Mreno huyo atafukuzwa Manchester United.
Kocha Mfaransa, Zinedine Zidane amedokeza kwamba yuko karibuni kurejea kazini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aliwaambia rafiki zake mwezi uliopita kwamba anatarajia kupewa ofa Old Trafford iwapo Mourinho ataondolewa.
Mourinho yuko hatarini kuondolewa baada ya mwanzo mbaya katika Ligi Kuu ya England msimu huu — United ikipoteza mechi mbili kati ya nne za awali.
Na taarifa ya hivi karibuni kwenye gazeti la The Mirror imesema kwamba Zidane amekwishaanza kujiandaa kwa maisha mapya Old Trafford kwa kutayarisha orodha ya wachezaji wa kuingia nao.
Toni Kroos, Thiago Alcantara, James Rodriguez na Edinson Cavani wanatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji waliomo kwenye orodha ya Zidane ambao angependa kuingia nao Manchester akiteuliwa kumrithi Mourinho.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2oTcWKY
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ZIDANE ASEMA MUDA SI MREFU ATAREJEA KUENDELEA NA KAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/09/zidane-asema-muda-si-mrefu-atarejea.html. Terimakasih atas perhatiannya.