MFARANSA Zinedine Zidane ameandaa orodha ya wachezaji wa kusajili kwenda kuiongezea nguvu Manchester United iwapo atakwenda kuchukua nafasi ya Mreno, Jose Mourinho anayetabiriwa kufukuzwa.
Mourinho amejikuta katika wakati mgumu Old Trafford kufuatia mwanzo mbaya katika Ligi Kuu ya England akifungwa mechi mbili katika ya nne alizocheza.
Mashetani Wekundu walipunguza kumpiga presha kocha huyo baada ya ushindi wa ugenini wa 2-0 dhidi ya Burnley Uwanja wa Turf Moor wiki iliyopita, lakini Zidane ameendelea kuhusishwa na nafasi hiyo.
Na kwa mujibu wa The Mirror, Mfaransa huyo tayari ameanza kuandaa mazingira yake atakapoingia kazini kwa kuandaa orodha ya wachezaji wa kusajili kwenda kuiongezea nguvu timu.
Zinedine Zidane ameanza kuiunda upya Manchester United kuelekea kuchukua nafasi ya Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wachezaji anaowahitaji ni pamoja na Toni Kroos wa Real Madrid, Thiago Alcantara wa Bayern Munich, James Rodriguez – ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo Bayern kutoka Real Madrid – na mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Edinson Cavani.
Zidane alihitimisha maisha yake ya kazi Real Madrid siku chache tu baada ya kutwaa taji la tatu mfululizo la Ligi ya Mabingwa baada ya ushindi dhidi ya Liverpool mjini Kiev na tangu hapo hajafanya kazi.
Wakati wake akiwa Bernabeu, Zidane pia alifanikiwa kutwaa taji la La Liga mwaka 2017 wakati pia alishinda taji la UEFA Super Cup na Klabu Bingwa ya Dumia ya FIFA kila moja mara mbili.
Mourinho anatarajiwa kuingia katika kipindi cha kuamua hatima yake Manchester United baada ya mapumziko ya Ligi Kuu ya England kupisha mechi za kimataifa wikiendi hii.
United pia inatarajiwa kuanza mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya wakiwa wamepangwa kundi moja na Young Boys na Valencia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2wUa312
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang ZIDANE KUINGIA NA WANNE MAN UNITED WAMO KROOS NA CAVANI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2018/09/zidane-kuingia-na-wanne-man-united-wamo.html. Terimakasih atas perhatiannya.