Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Mwinyi Zahera raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yuko hatarini kutiwa hatiani kwa makos aya kinidhamu.
Zahera ni miongoni mwa waliolalamikiwa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kati ya viongozi, makocha na wachezaji kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).
Walalamikiwa ni kutoka katika klabu za Ligi Kuu ya Tanzania (TPL), na Ligi Daraja la Kwanza (FDL).
Mbali na Zahera, makocha wengine waliolalamikiwa ni Athuman Bilal wa Stand United, Nassoro Mrisho (Geita Gold FC), na Ramadhani Nsanzurwimo (Mbeya City).
Viongozi ni Herry 'Mzozo' Chibakasa wa Friends Rangers FC, Mohamed Hussein (Kagera Sugar FC),Walter Harrison (KMC) na Hussein Salehe wa Geita Gold FC wakati mchezaji aliyelalamikiwa ni Deus Tulusubya wa Pamba SC.
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) itakutana Mei 12, mwaka huu mjini Dar es Salaam kujadili malalamiko hayo.
Taarifa hiyo imetolewa na Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo alipozungumza na Waandishi wa Habari mjini Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2DYRLir
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms