Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) litafanya ukaguzi wa mwisho kwenye Uwanja wa Ilulu mjini Lindi Mei 23 mwaka huu.
Afisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Mario Ndimbo amesema ukaguzi huo ni maalum kuelekea mchezo wa fainali wa Kombe la shirikisho hilo, maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Fainali ya ASFC itafanyika Juni 1 Uwanja wa Ilulu mjini Lindi, ikizikutanisha timu za Azam FC ya Dar es Salaam na Lipuli FC ya Iringa.
Na Ndimbo amesema katika ukaguzi huo itaangalia kama maelekezo yote yaliyotolewa yamefanyiwa kazi kama ilivyotakiwa.
"Kufikia tarehe hiyo Uwanja unatakiwa kuwa tayari kwa mchezo wa Fainali itakayochezwa Juni 1, 2019,"amesema Ndimbo.
Hii itakuwa mara ya pili mfululizo fainali ya ASFC kufanyika nje ya Dar es Salaam baada ya mwaka jana kufanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha ikizikutanisha Mtibwa Sugar ya Morogoro na Singida United ya Singida.
Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa taji hilo kwa ushindi wa mabao 3-2 na msimu huu ikaiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://bit.ly/2HAOCXd
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms