Na Mwandishi Wetu, LUBUMBASHI
MSHAMBULIAJI chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Eliud David Ambokile ni miongoni mwa wachezaji waliosafiri na TP Mazembe kwenda Rwanda kwenye michuano ya Kombe la Kagame.
Taarifa ya Mazembe imesema kwamba, kijana huyo mwenye umri wa miaka 23 baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Mbeya City ya nyumbani, Tanzania ataanza kazi mara moja.
“Katika safari ya Kigali ambako The Ravens wanatarajiwa kucheza michuano ya Cecafa Kagame, mchezaji huyo atakuwepo kwenye msafara baada ya kujiunga na timu Lubumbashi,.”imesema taarifa ya TP Mazembe.
Mazembe inataka kujaribu tena kuwekeza kwa chipukizi huyo wa Tanzania baada ya kuvuna matunda kwa Mbwana Ally Samatta na Thomas Emmanuel Ulimwengu.
Wawili hao waliitumikia Mazembe kwa mafanikio kuanzia mwaka 2011 kabla ya wote kuondoka wakifuatana, Samatta akianza 2016 kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji na Ulimwengu akifuatia 2017 kujiunga na AFC Eskilstuna ya Sweden kabla ya kuhamia, FK Sloboda Tuzla ya Bosnia, Al-Hilal ya Sudan mwaka 2018 na sasa JS Saoura ya Algeria.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2XQWiia
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms