Mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Ally Samatta (kulia) wa Fenerbahce akimtoka beki wa kimataifa wa Bosnia na Herzegovina wa klabu ya Goztepe SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uturuki leo Uwanja wa Goztepe Gursel Aksel Jijini İzmir. Fenerbahce imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na José Ernesto Sosa kwa penalti dakika ya 26, Serdar Aziz dakika ya 43 na Dimitris Pelkas dakika ya 51, wakati ya Goztepe SC yote yamefungwa na Guilherme kwa penalti pia dakika ya 34 na lingine dakika ya 63 akimalizia pasi ya Halil Akbunar.
Mbwana Samatta (juu kushoto) aliyecheza hadi filimbi ya mwisho akishangilia na wachezaji wenzake ushindi huo unaowafanya Fenerbahce wafikishe pointi 11 katika mchezo wa tano na kupanda kileleni mwa Ligi, sasa wakiwazidi pointi moja Alanyaspor ambao hata hivyo wamecheza nne
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2T2RL8i
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms