Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KUNA uwezekano mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga uliosogezwa Novemba 7 kutoka Oktoba 18 ukasogezwa tena mbele.
Hiyo ni baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutoa ratiba ya mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika leo (AFCON), ikionyesha Tanzania itamenyana na Tunisia Novemba 13 Jijini Tunis katika mchezo wa Kundi J.
Na kwa sababu timu hizo zitarudiana Novemba 13 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, basi mchezo huo unaweza kufanyika kuanzia mwishoni mwa mwezi Novemba.
Mapema leo Bodi ya Ligi ilitoa taarifa ya kuusogeza mbele mchezo huo hadi Novemba 7 kwa hofu ya wachezaji waliokwenda kuchezea timu zao za taifa kuchelewa kurudi kwa sababu mbalimbali, ikiwemlo vikwazo vya tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.
Lakini kwa kuwa Novemba 13 Taifa Stars itacheza na Tunisia Jijini Tunis, itahitaji angalau wiki moja ya maandalizi, hivyo ni vigumu mechi ya Simba na Yanga kuchezwa Novemba 7.

from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/33CZpMR
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms