BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk atakwenda kufanyiwa upasuaji wa goti la kulia baada ya kuumia kufuatia kugongana na kipa wa Everton, Jordan Pickford katika derby Merseyside iliyoisha kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Goodison Park Ligi Kuu ya England Jumamosi.
Japo Liverpool haijasema Van Dijk atakuwa nje kwa muda gani, lakini kwa asili ya maumivu yake – beki huyo wa kimataifa wa Uholanzi atakosekana kwa muda mrefu.
Van Dijk alicheza kwa dakika sita kabla ya kugongana na Pickford na nafasi yake kuchukuliwa na Joe Gomez kufuatia kutibiwa kwa dakika tano bila mafanikio na sasa Mwanasoka huyo Bora wa Mwaka England 2018-19 atakosekana kwenye LIgi Kuu kwa mara ya kwanza tangu September 2018.
Hapa ndipo Virgil van Dijk alipoumizwa na kipa Jordan Pickford (chini) kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumamosi Uwanja wa Goodison Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3o82VXB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms