Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilunda, amekamilisha uhamisho wa kujiunga na miamba ya Morocco, Moghreb Atletico Tetuan kwa mkataba wa miaka mitatu.
Chilunda anakwenda kuungana na Mtanzania mwingine, kiungo Maka Edward Mwasomola aliyejiunga na klabu hiyo mwaka jana kwa mkataba wa miaka minne kutoka Yanga SC ya Dar es Salaam pia.
Awali Chilunda ilikuwa ajiunge na Mouloudia Oudja ya huko, lakini imeshindakana baada ya baadhi ya taratibu kushindikana kabla ya Azam FC kumalizana na Tetuan.
Shaaban Chilunda amejiunga na miamba ya Morocco, Moghreb Atletico Tetuan kwa mkataba wa miaka mitatu
Mshambuliaji huyo anakuwa mchezaji wa pili wa Azam FCetu kuondoka msimu huu kwenda kucheza soka la kulipwa nje ya nchi baada ya Novatus Dismas, kujiunga na vigogo wa Israel, Maccabi Tel-Aviv.
Wachezaji wote wawili wamekulia kwenye kituo cha kukuza vipaji cha Azam FC Academy.
Mwaka juzi, Azam FC ikifanya biashara nyingine ya kumuuza nshambuliaji wake kinda, Yahya Zayd, kwenda kwa miamba ya Misri, Ismailia.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3kmPIY9
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms