Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BONDIA Hassan Mwakinyo ameahidi kumpiga mpinzani wake, Muargentina Jose Carlos Paz na kutetea taji lake ubingwa wa Mabara wa WBF uzito wa Super-Welter katika pambano la raundi 12 Ijumaa ukumbi wa Next Door Arena, Masaki Jijini Dar es Salaam.
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari leo hoteli ya Colosseum, Masaki, Mwakinyo amesema kwamba atahakikisha Paz anaachana na mchezo wa ngumi za kulipwa kutokanana kipigo alichumuandalia.
“Natamani pambano lifanyike mapema iwezekanavyo, hata siku moja kabla kwani nipo fiti zaidi ya nilivyokuwa mwanzoni. Sitaki kuwanyong’onyesha Watanzania katika pambano hilo,” alisema Mwakinyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jackson Group Sports, Kelvin Twissa akiwatambulisha Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz leo hoteli ya Colosseum, Masaki
Alisema kuwa anajua kuwa Paz ni bondia mzuri na amejiandaa vyema katika pambano hilo, lakini kutokana na jinsi alivyojiandaa, hatakuwa na nafasi ya kutamba kwake.
Kwa upande wake, Paz alisema kuwa hakuja nchini kutembea zaidi ya kuwania ubingwa wa ambao Mwakinyo anao.
“Nipo vizuri, mazoezi yangu nchini yamekuwa na mafanikio makubwa na hali ya hewa siyo tatizo. Nitamfundisha ngumi Mwakinyo ,” alisema Paz.
Kwa mabondia hao kutambiana pia bondia Hussein Itaba na mpinzani wake kutoka DR Congo, Alex Kabangu, Fatuma Zarika dhidi ya Patience Mastara (Zimbabwe) na Mtanzania Zulfa Macho ambaye atazichapa na Alice Mbewe wa Zambia pia walitambiana.
Mkurugenzi wa Jackson Group Sports, Kelvin Twissa alisema kuwa maandalizi yamekamilika na kuwaomba mashabiki kuendelea kununua tiketi kwa ajili ya pambano hilo.
“Maandalizi yapo vizuri na kama mnavyoona mabondia wote wapo hapa na sas tunamsubiri Rais wa WBF, Howard Goldberg na mwamuzi Edward John Marshall ambao watawasili leo Jumatano Novemba 11,” alisema Twisa.
Twissa alisema tiketi zitaanza kuuzwa kwa njia ya Nilipe na Selcom kwa Sh 3 Milioni kwa meza ya watu 10 na Sh150,000 kwa kwa viti vya kawaida.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/3lktLKl
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MWAKINYO ATAMBA KUMDUNDA MUARGENTINA HADI ASTAAFU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2020/11/mwakinyo-atamba-kumdunda-muargentina.html. Terimakasih atas perhatiannya.