TIMU ya taifa ya Uganda jana iliibuka na ushindi wa mwembamba nyumbani wa 1-0 dhidi ya Sudan Kusini katika mchezo wa Kundi B kufuzu Fainali za kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2021 nchini Cameroon.
Kwa ushindi huo, The Cranes wanafikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu na kuendelea kuongoza kundi hilo.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa St. Mary's, Kitende bao pekee la Uganda lilifungwa na mtokea benchi, Halid Lwaliwa zikiwa zimebaki dakika tano akimalizia kwa kichwa mpira wa adhabu uliopgwa na Karim Watambala.
Nayo Cameroon ikaibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya Msumbiji mjini Douala kwenye mchezo wa Kundi F. Mabak ya Cameroon yalifungwa na Vincent Abubakar mawili, Frank Zambo-Anguissa na Clinton Njie.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE https://ift.tt/2Iwkil2
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms