TIMU ya Colombia imefanikiwa kwenda Hatua ya 16 Bora Fainali za Kombe la Dunia baada ya ushindi wa bao 1–0 dhidi ya Ghana Asubuhi ya leo Uwanja wa Arrowhead Jijini Kansas City, Missouri, Marekani.
Bao pekee lilliloipa ushindi Colombia limefungwa na kiungo mshambuliaji wa Palmeiras ya Brazil, Jhon Adolfo Arias Andrade aliyefundishwa soka katika akademi za Dorados na Tijuana nchini Mexicio – ambaye alifunga dakika ya 14.
Colombia inakamilisha idadi ya timu 16 za hatua inayofuata ya Fainali za Kombe la Dunia za mwaka huu zinazoandaliwa kwa pamoja na mataifa ya Canada, Marekani na Mexico.
Nyingine ni Argentina, Canada, Morocco, Paraguay, Ufaransa, Brazil, Norway, Mexico, England, Ureno, Hispania, Marekani, Ubelgiji, Misri na Uswisi.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/D5MjYcO
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang COLOMBIA YAICHAPA GHANA 1-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA DUNIA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/07/colombia-yaichapa-ghana-1-0-na-kusonga.html. Terimakasih atas perhatiannya.