TIMU ya Hispania imefanikiwa kutwaa Kombe la Dunia baada ya kuwafunga waliokuwa mabingwa watetezi, Argentina bao 1-0 usiku huu katika mchezo uliodumu kwa dakika 120 na ushei Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, Bergen County, New Jersey nchini Marekani.
Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo pekee, mshambuliaji wa Barcelona, Ferran Torres García dakika ya 106 akimalizia pasi ya winga wa Athletic Bilbao, Nicholas Williams Arthuer mwenye asili ya Ghana.
Hispania ilicheza pungufu dakika zote 30 za nyongeza baada ya kiungo wake, Enzo Jeremías Fernández anayechezea klabu ya Chelsea ya England kutolewa kwa kadi nyekundu kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kumchezea rafu beki wa Barcelona na Hispania, Pau Cubarsí Paredes dakika ya 90’+3.
Gwiji wa Argentina alikuwa mnyonge wa kutia huruma baada ya kipyenga cha mwisho akimshuhudia mchezaji aliyempakata akiwa mtoto, Lamine Yamal Nasraoui Ebana wa Barcelona mwenye asili ya Morocco kupitia kwa baba yake na Equatorial Guinea kupitia kwa mama yake akiiongoza La Roja kutwaa Kombe.
from BIN ZUBEIRY SPORTS — ONLINE https://ift.tt/yDr7chg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NI HISPANIA MABINGWA WA DUNIA 2026. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2026/07/ni-hispania-mabingwa-wa-dunia-2026.html. Terimakasih atas perhatiannya.