Na Mwandisji Wetu, DAR ES SALAAM
WAKATI Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini inatarajiwa kuanza wiki ijayo, kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa anayechezea Free State Stars amesema yuko fiti kama chuma.
Ngassa aliyekuwa nje ya Uwanja kwa miezi miwili ya kuelekea mwisho wa msimu uliopita kutokana na kuwa majeruhi, ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE kwamba anamshukuru Mungu kuelekea msimu mpya yuko vizuri kiasi cha kutosha.
“Tumekuwa na kambi ya mwezi mmoja Johannesburg kujiandaa na msimu mpya na ninashukuru nimefanya mazoezi vizuri na wenzangu na ninajisikia vizuri kuelekea msimu mpya,”alisema.
Mrisho Ngassa amesema yuko fiti kama chuma kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Afrika Kusini
Mfungaji huyo bora wa zamani wa Ligi ya Mabingwa Afrika amesema amedhamiria kufanya vizuri katika Ligi Kuu ya ABSA kuanzia msimu huu baada ya kuwa na mwanzo wa kusuasua msimu uliopita.
Free State watafungua dimba na wenyeji Chippa United Jumanne ya Agosti 23, mwaka huu Uwanja wa Nelson Mandela Bay kuanzia Saa 1:30 usiku.
Ngassa alijiunga na Free State Stars msimu uliopita baada ya kumaliza Mkataba wake Yanga SC ya Tanzania. Hapa nchini, Ngassa mbali na Yanga amechezea klabu za Toto Africans, Kagera Sugar, Azam FC na Simba SC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2bbeGIk
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NGASSA: NIKO FITI KAMA CHUMA, SASA NDIYO WASAUZI WATANIJUA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/08/ngassa-niko-fiti-kama-chuma-sasa-ndiyo.html. Terimakasih atas perhatiannya.