Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
SIMBA SC imefanikiwa kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Laudit Mavugo.
Sifa zimuendee Katibu wa Simba SC, Patrick Kahemele aliyesafiri hadi Bujumbura, Burundi kushughulikia uhamisho wa mkali huyo wa mabao kutoka Vutal’O.
Kahemele ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE leo kwa kifupi tu kwamba; “Nimefanikiwa kupata ITC (Hati ya Uhamisho wa Kimataifa) ya Mavugo na tayari ipo Dar es Salaam, hivyo huyo ni mchezaji wetu halali kuanzia sasa,”alisema Meneja huyo wa zamani wa Azam FC.
 |
| Laudit Mavugo sasa ni mchezaji halali wa Simba SC |
Hadi sasa, Mavugo ameichezea Simba SC mechi mbili za kirafiki ikishinda 4-0 dhidi ya AFC Leopard huku yeye akifunga bao moja na katika sare ya 1-1 na URA ya Uganda, zote Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2bnA3Vz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms