Na Mwandishi Wetu, SHINYANGA
BEKI hodari Mtogo, Vincent Bossou ataendelea kuwa nje ya kikosi cha Yanga SC katika mechi ya tatu mfululizo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Bossou mwenye asili ya Ivory Coast, hakuwepo wakati Yanga inatoa sare ya 0-0 na Ndanda FC Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara na ikishinda 3-0 dhidi ya Maji Maji Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Lakini kukosa kwake mechi mbili zilizopita, ilielezwa ni kwa sababu alichelewa kurejea baada ya kuruhusiwa kwenda kuichezea Togo katika mechi ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika.
Vincent Bossou hajapangwa katika mchezo wa leo kwa sababu ni majeruhi
Pamoja na kwamba yuko nchini tangu wiki iliyopita, lakini katika mchezo wa leo dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage, Shinyanga Bossou hajapangwa kwa sababu ni majeruhi.
Kocha Mholanzi, Hans van der Pluijm amewaanzisha pamoja beki mpya, Andew Vincent Chikupe ‘Dante’ na Kevin Yondan.
Kwa ujumla kikosi kilichopangwa na Pluijm leo ni; Ally Mustafa ‘Barthez’, Juma Abdul, Mwinyi Hajji, Andrew Vicent, Kevin Yondan, Mbuyu Twite, Simon Msuva, Thabani Kamussoko, Amissi Tambwe, Donald Ngoma na Deus Kaseke.
Katika benchi watakuwapo Nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Juma Mahadhi, Deo Munishi ‘Dida’, Oscar Joshua, Haruna Niyonzima, Obrey Chirwa na Yussuf Mhilu.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ctYwcd
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BOSSOU NJE TENA YANGA NA LEO YANGA IKIIVAA MWADUI KAMBARAGE. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/09/bossou-nje-tena-yanga-na-leo-yanga.html. Terimakasih atas perhatiannya.