Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MCHEZO wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Azam FC na Mtibwa Sugar ya Morogoro utafanyika usiku wa Jumatano Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE leo kwamba wameomba mchezo huo ufanyike usiku na wanashukuru ombi lao limekubaliwa na Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
“Wenzetu wa Azam TV kwa sababu za kuweza kuonyesha moja kwa moja mechi nyingi za Jumatano, wakaomba mchezo wetu tuusogeze Saa 1:00 usiku, nasi tumekubali,” amesema Maganga.
Azam iliyo chini ya benchi la Ufundi la wataalamu kutoka Hispania linaloongozwa na Zeben Hernandez Rodriguez, itaingia katika mchezo wa keshokutwa ikitoka kutoa sare ya 0-0 na Yanga jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Azam FC inafikisha pointi 12 baada ya kucheza mechi tisa, ikitoa sare ya tatu baada ya kufungwa mechi tatu na kushinda tatu – wakati Simba SC yenye pointi 23 za mechi tisa kutokana na kushinda mara saba na sare mbili, inaongoza Ligi Kuu.
Kwa ujumla Ligi Kuu inatarajiwa kuendelea Jumatano na mbali na Azam na Mtibwa Sugar, Ruvu Shooting watakuwa wenyeji wa Mwadui FC Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani, Ndanda FC wataikaribisha Mbeya City Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara na Prisons watakuwa wenyeji wa Stand United Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Mechi nyingine za Jumatano, Toto Africans watawakaribisha baba zao, Yanga SC Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza, African Lyon wataikaribisha Maji Maji Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati Alhamisi Simba SC watakuwa wenyeji wa Mbao FC Uwanja wa Uhuru na JKT Ruvu wataikaribisha Kagera Sugar Uwanja wa Mabatini.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2dWq7VP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang AZAM NA MTIBWA KUPIGWA USIKU JUMATANO CHAMAZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/azam-na-mtibwa-kupigwa-usiku-jumatano.html. Terimakasih atas perhatiannya.