Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BEKI Mtogo wa Yanga, Vincent Bossou ameanza kufanya mazoezi na timu yake kufuatia kuwa nje kwa wiki moja kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa Malaria.
Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE leo kwamba, Bossou aliyerejea wiki iliyopita kutoka kuichezea timu yake ya taifa, alishindwa kuingia moja kwa moja kwenye programu za timu kutokana na kufika anaumwa Malaria.
“Alifika hapa siku tano zilizopita akiwa anasumbuliwa na Malaria. Ila kwa sasa anaendelea na amekwishaanza mazoezi,”amesema Hafidh.
Vincent Bossou hakuwepo wakati Yanga, ikishinda 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Jumatano na juzi ikilazimishwa sare ya 0-0 na Azam FC Uwanja wa Uhuru
Bossou hakuwepo katika mechi mbili zilizopita za Yanga, ikishinda 3-1 dhidi ya Mtibwa Sugar Jumatano na juzi ikilazimishwa sare ya 0-0 na Azam FC, zote Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Na sasa beki huyo mwenye asili ya Ivory Coast anatarajiwa kurejea katika mchezo ujao, Yanga ikimenyana na wenyeji, Toto Africans mjini Mwanza Jumatano.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2effRHe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BOSSOU KUREJEA YANGA IKIIVAA TOTO MWANZA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/bossou-kurejea-yanga-ikiivaa-toto-mwanza.html. Terimakasih atas perhatiannya.