Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
HATIMAYE nyasi za bandia za kuweka kwenye Uwanja wa mkongwe wa Nyamagana mjini Mwanza zimewasili ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imeelezwa.
Ofisa Habari wa TFF, Alfred Lucas Mapunda amesema leo katika mahojiano na BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE kwamba nyasi hizo zilizokuwa zimezuiwa kwa takriban mwaka mzima kwa sababu ya ushuru, tayari wamezipokea.
“Hivi ninavyozungumza na wewe hapa, tayari kontena mbili za nyasi bandia na vifaa vyake vyote zipo hapa makao makuu ya TFF Uwanja wa Karume, Dar es Salaam na wakati wowote zitasafirishwa kwenda Mwanza,”amesema.
Ofisa Habari huyo wa TFF, amesema kwamba kwa sasa wanasubiriwa wataalamu tu kutoka China au Ujerumani ili waende kuzitandika nyasi hizo bandia mjini Mwanza.
Katika hatua nyingine, Mapunda alisema kwamba Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limatoa taarifa ya ujio wake kuja kukagua Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza pia, ili kuupitisha tena kwa matumizi ya michezo ya kimataifa.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2ebDnHY
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NYASI ZA BANDIA ZA NYAMAGANA ZAWASILI TFF. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/10/nyasi-za-bandia-za-nyamagana-zawasili.html. Terimakasih atas perhatiannya.