Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa Mohammed Matumla atakuwa na mapambano mawili ndani ya miezi hii miwili kuanzia Novemba 27.
Mtoto huyo wa bingwa wa zamani wa dunia wa WBU uzito wa Light-Middle, Rashid Matumla atapanda ulingoni Novemba 27 kwenye ukumbi wa Musoma Bar, Dar es Salaam kupigana na Abdallah Zamba katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa Bantam.
Baada ya pambano hilo, Matumla atarudi ulingoni Desemba 25 kuzipiga na Deo Samuel katika pambano lingine lisilo la ubingwa Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.
Mohammed Matumla atakuwa na mapambano mawili ndani ya miezi hii miwili kuanzia Novemba 27
Akizungumzia maandalizi ya mapambano yake, Matumla mdogo alisema kwamba yanaendelea vizuri na anatarajia kufanya vizuri katika mechi zote mbili zijazo.
“Ngumi ni ngumi, siwezi kumdharau bondia yeyote, mimi ninajiandaa kikamilifu kwa mapambano yote. Natakiwa nifanye vizuri katika pambano la kwanza ili kujihakikisha kupanda ulingoni tena Krisimasi,”alisema jana Matumla.
Matumla hajashinda katika mapambano yake mawili yaliyopita, akishindwa kwa Knockout (KO) na mwenyeji wake, Sakaria Lukas Novemba 6, mwaka huu ukumbi wa Ramatex Factory, mjini Windhoek, Namibia akitoka kutoa sare na Cossmas Cheka Machi 27, mwaka huu Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam.
Mara ya mwisho Moudy Matumla kushinda ilikuwa ni Februari 27, mwaka huu alipomshinda Bakari Mohamed viwanja vya Leaders Club, Kinodoni, Dar es Salaam.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2gyqaf1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MATUMLA KUZIPIGA MFULULIZO NOVEMBA NA DESEMBA DAR. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/matumla-kuzipiga-mfululizo-novemba-na.html. Terimakasih atas perhatiannya.