Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MBEYA City imesema kwamba ina hazina ya makipa watatu vijana, ambao kama wataendelea na juhudi ya mazoezi watafika mbali.
Ofisa Habari wa Mbeya City, Dismass Ten aliiambia BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE jana kwa simu kutoka Mbeya kwamba, moja ya vipaji vya kujivunia kwenye timu kwa sasa ni makipa wake vijana.
Ten aliwataja makipa hao waliopandishwa kutoka timu ya vijana ya Mbeya City ni Fikirini Bakari, Hamisi Mchabila na Nurdin Mohammed.
Kipa namba moja wa Mbeya City, Mmalawi, Owen Chaima amedaka mechi zote 15 za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kufungwa mabao 15
“Kwa kweli hawa vijana wote wanafanya vizuri mazoezini na hata benchi la ufundi linavutiwa nao. Ni matumaini yetu kama wataendelea na juhudi hizi, watakuwa makipa bora baadaye,”alisema Ten.
Kipa namba moja wa Mbeya City kwa sasa ni Mmalawi, Owen Chaima aliyedaka mechi zote za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mlinda mlango huyo aliye katika msimu wake wa kwanza Mbeya, alidaka mechi 15 za Ligi Kuu na kufungwa mabao 15.
Mechi ambayo alionyesha kiwango kikubwa zaidi ni dhidi ya mabingwa watetezi, Yanga SC Novemba 2 mwaka huu Mbeya City wakishinda 2-1 Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Na haikushangaza baada ya mzunguko wa kwanza, Chiama aliyetokea klabu ya kwao Malawi akatajwa kuwaniwa na vigogo wa soka nchini, Simba SC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2gfYzeH
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MBEYA CITY YAJIVUNIA MAKIPA WAKE WADOGO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/mbeya-city-yajivunia-makipa-wake-wadogo.html. Terimakasih atas perhatiannya.