KOCHA wa Nigeria, Florence Omagbemi ameahidi timu yake kuendelea kucheza kwa kiwango cha juu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa wanawake mwaka (AWCON) 2016 nchini Cameroon.
Nigeria itaanza kutetea taji lake la AWCON Jumamosi wakimenyana na Mali Uwanja wa Manispas ya Limbe na Omagbemi ameweka wazi kwamba "wanataka kutetea taji (la AWCON),".
"Tunataka kudumisha kiwango chetu cha juu. Tunataka kutetea taji letu, kwa sababu hilo ndilo lengo letu Cameroon," alisema Omagbemi.
Tayari Nahodha huyo wa zamani wa Nigeria amezitaja Cameroon na Ghana kama vikwazo vikuu kwa Super Falcons kutetea taji lao, lakini amesema pia timu nyingine zinazoshiriki michuano hiyo zinastahili kupewa heshima pia.
Nigeria itamenyana na Ghana Novemba 23 katika mchezo wao wa pili wa Kundi B, kabla ya kumaliza na Kenya siku tatu baadaye.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2f68NMe
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NIGERIA WAINGIA NA MKWARA MZITO KUTETEA TAJI CAMEROON. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/nigeria-waingia-na-mkwara-mzito-kutetea.html. Terimakasih atas perhatiannya.