Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Simba SC umesema kwamba wachezaji wa klabu hiyo wanalipwa mishahara yao ndani ya muda na hakuna mchezaji hata mmoja anayecheleweshewa au kutolipwa mshahara wake.
Akizungumza na BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE jana, Katibu Mkuu wa Simba SC, Patrick Kahemele alisema kwamba wanastaajabishwa na taarifa za tatizo la mishahara katika klabu yao wakati hazipo.
“Awali tulizipuuza hizi taarifa, maana si kila taarifa ni za kukanusha, nyingine ni za kupuuza tu, lakini naona watu wanaanza kuziamini. Napenda niseme hakuna tatizo la mishahara Simba SC, wachezaji wote wanalipwa stahiki zao kwa wakati,”alisema Kahemele.
Pamoja na hayo, Katibu huyo wa Simba SC alisema kwamba wachezaji wa klabu hiyo wamepewa mapumziko ya wiki mbili baada ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kukiwa hakuna mtu anayedai.
“Kila taasisi ina utaratibu wake wa kulipa mishahara. Na sisi kama Simba SC tuna utaratibu wetu. Ndani ya utaratibu wetu hakuna anayekosa haki yake na wote wanalipwa kwa wakati kulingana na utaratibu tuliojiwekea,”alisema.
Kufuatia Simba SC kufungwa mechi mbili mfululizo za mwisho za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 1-0 na African Lyon Dar es Salaam na 2-1 na Prisons Mbeya baada ya mwanzo mzuri wa kucheza 13 bila kupoteza, ikishinda 11 na sare mbili, zikaibuka taarifa za wachezaji kutolipwa mishahara kwa miezi mitatu.
Taarifa hizo za kwenye magazeti ya mwishoni mwa wiki zimewakera baadhi ya wanachama na wapenzi wa Simba, wakiamini ndizo zilichangia timu kufungwa na Lyon na Prisons.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fRyDVh
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms