Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
YANGA SC inafuatilia saini za wachezaji wawili wa safu ya kiungo ya Mbeya City, Kenny Ally na Raphael Daudi.
Mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Yanga SC wanataka kuimarisha kikosi chao kwa kuwasajili kiungo mkabaji na Nahodha wa MCC Kenny Ally na kiungo mchezeshaji Raphael Daud.
Kwa staili yake mpya maarufu ya ‘mambo kimya kimya’, inadaiwa Yanga imefikia katika hatua nzuri kwenye mpango wa kuwasajili wawili hao waliopandishwa mwaka 2014 kutoka timu ya vijana ya Mbeya City.
Kenny Ally akimtoka kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto msimu uliopita
Raphael Daudi (kushoto) akimfukuzia kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite
Lakini Mbeya City leo wametoa onyo kwa Yanga kupitia BIN ZUBEIRY SPORTS – ONLINE; “Tumekuwa tukisikia taarifa za Yanga kuwataka hao wachezaji, lakini bado hawajazungumza na sisi. Ninachopenda tu kuwaambia Yanga ni kwamba, hao wachezaji wote wana mikataba na klabu,”amesema Dissmas Ten, Ofisa Habari wa Mbeya City.
“Kila mmoja ana mkataba wa mwaka na nusu, kwa sababu ni mwaka jana tu wamesaini mikataba mipya. Sasa kama Yanga wanawataka, wafuate tu taratibu,”alisema Ten.
Wawili hao wote ni matunda ya timu ya vijana ya Mbeya City na walipandishwa kikosi cha kwanza cha timu hiyo mwaka 2014, wakati huo timu hiyo ikiwa chini ya Juma Mwambusi, ambaye kwa sasa ni kocha Msaidizi wa Yanga.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2fcuStr
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA YATAKA KUBEBA VIUNGO WAWILI MBEYA CITY. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/yanga-yataka-kubeba-viungo-wawili-mbeya.html. Terimakasih atas perhatiannya.