Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
HATIMAYE klabu ya Yanga leo imemtambulisha rasmi, Mzambia George Lwandamina kuwa kocha wake mpya na Hans van der Pluijm kuwa Mkurugenzi wa Ufundi.
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC, Clement Sanga amesema Lwandamina ataanza kazi rasmi mwishoni mwa mwezi.
"Ni kweli tumeingia mkataba na George Lwandamina aliyekuwa akiifundisha Zesco United nchini Zambia. Lwandamina ataanza kuifundisha timu yetu mzunguko wa pili wa Ligi Kuu"
George Lwandamina anakuwa kocha mpya Yanga SC na Hans van der Pluijm atakuwa Mkurugenzi wa Ufundi
Aidha, Sanga amesema kocha wao wa sasa, Pluijm ataendelea na kazi, isipokuwa anahamia kwenye Ukurugenzi wa Ufundi. "Ni mwalimu mzoefu na anaijua vyema Yanga SC, hivyo ushauri wake na uzoefu utakuwa chachu ya mafanikio katika benchi letu la ufundi na klabu kwa ujumla,"alisema Sanga na kuongeza.
"Mabadiliko hayo hayana maana kwamba kiwango cha kocha Pluijm kilikuwa kibaya, bali uongozi katika hatua ya kuiboresha klabu yake umeamua kuleta changamoto mpya ili kujiweka bora zaidi katika michuano mbalimbali inayoikabili timu hiyo,".
Sanga amesema Lwandamina atjiunga na timu mara wachezaji watakaporejea kutoka mapumzikoni na kuanza maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
"Likizo waliyopewa inakwisha tarehe 25 na uongozi unatarajiwa kuweka kambi nje ya nchi kwa maandalizi yakinifu ya mzunguko wa pili wa ligi kuu unaoanza rasmi Desemba 17,"amesema Sanga.
Pamoja na hayo, Sanga amesema Juma Mwambusi ataendelea kuwa Kocha Msaidizi wa klabu hiyo hadi hapo itakapotangazwa tofauti.
"Mara nyingi kocha mkuu ndiye anaamua au kupendekeza msaidizi wake na sio klabu, hivyo bado Mwambusi ni kocha wetu hadi hapo itakapotangazwa tofauti. Klabu kwa sasa imejikita kwa hao wawili wakubwa wa juu,"alisema.
Chini ya Pluijm na Mwambusi, Yanga ilimaliza nafasi ya pili katika mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu kwa pointi zake 33, ikizidiwa mbili na vinara, Simba SC waliomaliza na pointi 35.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2gulMwA
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA YATAMBULISHA BENCHI JIPYA LA UFUNDI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/11/yanga-yatambulisha-benchi-jipya-la.html. Terimakasih atas perhatiannya.