Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ akimiliki mpira pembeni ya winga Enock Atta Agyei kutoka Ghana wakati wa mazoezi ya timu hiyo leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji Maji Maji Jumamosi wiki hii mjini Songea
Beki wa kati wa Azam FC, Yakubu Mohammed, akimzuia winga Enock Atta Agyei
Beki wa kati wa Azam FC, Aggrey Morris, akiruka juu kwenye mazoezi ya viungo ya kuruka koni.
Wachezaji wa Azam FC wakifanya mazoezi tofauti ya viungo
Kipa wa Azam FC, Mwadini Ally, akiruka juu wakati wa mazoezi ya magolipa chini ya Kocha wa Makipa, Jose Garcia
Kikosi cha Azam kinatarajiwa kuanza safari ya Songea mkoani Ruvuma Alfajiri ya kesho
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hQ0Mkg
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms