Na Mwandishi Wetu, MBEYA
FANJA FC ya Oman ‘inawafanyia mtimanyongo’ Mbeya City kwa kutotuma Hati ya Uhamisho wa Kimataifa ya mchezaji Mrisho Ngassa.
Ngassa ameachana vizuri na Fanja mapema mwezi huu baada ya kuwa nayo kwa miezi miwili na kuwafungia bao moja katika mechi mbili za Ligi na kurejea nyumbani kujiunga na Mbeya City kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Lakini uongozu wa Mbeya City umelalamika kwamba tangu wiki iliyopita umekuwa ukifanya jitihada kubwa za kupata ITC ya Ngassa bila mafanikio.
Ngassa amesaini mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na Mbeya City akitokea Fanja ya Oman
“Tunafanya juhudi kubwa tu, tunawapigia simu jamaa (Fanja) tunazungumza nao vizuri, wanasema wanauma, lakini hawatumi, basi tu,”alisema Katibu wa Mbeya City, Emmanuel Kimbe akizungumza na Bin Zubeiry Sports – Online jana usiku.
Baada ya kukosa mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Jumamosi dhidi ya Kagera Sugar wakilazimishwa sare ya 0-0 nyumbani, Mbeya City wanapambana ITC ya Ngassa ipatikane ili acheze mechi ijayo dhidi ya Toto Africans Jumamosi Uwanja wa Sokoine, Mbeya pia.
Ngassa alitua Fanja akitokea Free State Stars ya Afrika Kusini alikosajiliwa na kocha wa sasa wa Mbeya City, Mmalawi Kinnah Phiri.
Kisoka, Ngassa aliibukia Toto Africans ya Mwanza, kabla ya kwenda Kagera Sugar, Yanga SC, Azam FC, Simba na baadaye Jangwani tena.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hS6zDs
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FANJA ‘WAIFANYIA MTIMANYONGO’ MBEYA CITY ITC YA NGASSA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/fanja-waifanyia-mtimanyongo-mbeya-city.html. Terimakasih atas perhatiannya.