Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
WINGA chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Farid Malik Mussa anatakiwa kuwa amefika Hispania Desemba 27, mwaka huu tayari kuanza kuichezea klabu ya CD Tenerrife ya Daraja la Kwanza, maarufu kama Segunda B.
Akizungumza na Bin Zubeiry Sports - Online jana, Farid anayekwenda klabu hiyo kwa mkopo kutoka Azam FC, alisema kwamba kwa sasa anasubiri kutumiwa tiketi tu na Tenerrife.
“Mambo sasa yamekamilika kila kitu. Ubalozi wa Hispania hapa umenipa vibali vyote vya kwenda kufanya kazi kule, nachosubiri kwa sasa ni tiketi kutumwa na Tenerrife ili niende na viza yangu inaonyesha natakiwa niwe nimekwishafika kule hadi Desemba 27,”alisema Farid.
Farid Mussa anatakiwa kufika Hispania Desemba 27, mwaka huu tayari kuanza kuichezea CD Tenerrife
Farid ambaye hajacheza mechi yoyote msimu huu kwa kuchelewa kupata kibali, alisema kwamba kipindi chote amekuwa akifanya mazoezi na Azam FC kujiweka fiti.
Azam FC imemtoa kwa mkopo Farid kwenda CD Tenerife kwa makubaliano maalum. Na hiyo ilifuatia Farid kufuzu majaribio katika klabu hiyo katikati ya mwaka alipokwenda na Mkurugenzi wa klabu yake, Yussuf Bakhresa.
Farid alitua Hispania Aprili 21 baada ya kuichezea Azam FC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Esperance mjini Tunis, Tunisia ikifungwa 3-0 na kutolewa kwa jumla ya mabao 4-2 baada ya awali kushinda 2-1 Dar es Salaam.
Na ilimchukuwa wiki moja tu Farid kuwakuna kwa kipaji chake makocha wa Tenerife na kutaka kumnunua, lakini Azam ikakataa na kuamua kumtoa kwa mkopo.
Azam FC haijamsajili Farid katika kikosi chake cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu kwa kuwa imemtoa kwa mkopo Tenerife ambayo tayari imemuombea hadi Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC).
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2gKobih
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang FARID MUSSA ATAKIWA HISPANIA DESEMBA 27. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/farid-mussa-atakiwa-hispania-desemba-27.html. Terimakasih atas perhatiannya.