Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta jana alicheza kwa dakika 105 akiisaidia timu yake KRC Genk kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Ubelgiji baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Sporting Charleroi Uwanja wa Pays de Charleroi mjini Charleroi.
Samatta hakufunga bao juzi na baada ya kupigana uwanjani kwa dakika 105 alitolewa ili kumpisha kiungo Tino-Sven Susic kutoka Bosnia na Herzegovina, wakati timu huo timu hizo zikiwa zimefungana bao 1-1 na ndipo Genk ilipokwenda kupata ushindi wake.
Shujaa wa Genk jana alikuwa Nikolaos Karelis aliyefunga mabao yote matatu dakika za 69, 94 na 116, wakati bao pekee la ya Sporting Charleroi lilifungwa na Steeven Willems dakika ya 83.
Mbwana Samatta jana alicheza kwa dakika 105 akiisaidia timu yake KRC Genk kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Ubelgiji
Huo ulikuwa mchezo wa 34 jumla kwa Samatta kucheza Genk tangu awasili Januari mwaka huu kutoka TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),18 msimu uliopita na 16 msimu huu.
Kati ya hizo, ni mechi 16 tu alianza, 10 msimu uliopita na sita msimu huu, 18 alitokea bench inane msimu uliopita na 10 msimu huu, wakati nane hakumaliza baada ya kutolewa, sita msimu uliopita na mbili msimu huu huku akiwa amefunga jumla ya mabao nane, matatu msimu huu na matano msimu uliopita.
Kikosi cha KRC Genk kilikuwa; Bizot, Walsh, Colley, Brabec, Castagne, Ndidi, Pozuelo, Trossard, Bailey/Buffalo dk77, Samatta/Susic dk105 na Karelis/Dewaest dk119.
Charleroi: Mandanda, Zajkov, Tainmont/Bedia dk81, Pollet, Diandy, Mata, Bakar/Benavente dk69, Willems, Marcq, N'Ganga na Fall/Baby dk81.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hxxdnv
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA MAMBO SAFI UBELGIJI, GENK YAENDA NUSU FAINALI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/samatta-mambo-safi-ubelgiji-genk-yaenda.html. Terimakasih atas perhatiannya.