Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha Simba kimeondoka leo asubuhi Dar es Sakaam kwenda Mtwara tayari kwa mchezo wake wa kwanza wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya klabu hiyo, Hajji Sunday Manara ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba timu imeondoka na wachezaji
20 kwa ajili ya mchezo huo.
Simba watakuwa wageni wa Ndanda FC Jumapili Uwanja wa Nangwanda, Sijaona, Mtwara katika fungua dimba ya duru la pili la Ligi Kuu.
Na ingawa Manara hakutaja wachezaji walioongozana na timu mjini humo, lakini Bin Zubeiry Sports – Online inafahamu ambao hawajakwenda kwa sababu mbalimbali ni Juuko Murshid, Mwinyi Kazimoto, Mussa Ndusha, Pastory Athanas, Emmanuel Semwanza na kipa Vincent Angban.
Muivory Coast Angban na Ndusha kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanaachwa baada ya kusajiliwa wachezaji wapya kutoka Ghana, kipa Daniel Agyei na kiungo James Kotei.
Murshid bado yuko na timu yake ya taifa ya Uganda, Mwinyi Kazimoto ni majeruhi, Pastory Athanas hajakamilisha uhamisho wake kutoka Stand United na Emmanuel Semwanza ana matatizo ya kifamili.
Wachezaji wanaotarajiwa kuwamo kwenye msafara ni makipa; Daniel Agyei, Peter Manyika, mabeki; Hamad Juma, Janvier Bokungu, Abdi Banda, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Novaty Lufunga na Method Mwanjali.
Viungo ni James Kotei, Jonas Mkude, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, Muzamil Yassin, Jamal Mnyate, Shizza Kichuya na washambuliaji Frederick Blagnon, Laudit Mavugo, Ame Ally na Ibrahim Hajib, Juma Luizio na Hajji Ugando.
Simba ilimaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara katika nafasi ya kwanza kwa pointi zake 35, mbili zaidi ya mabingwa watetezi, Yanga.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2h3Ek3z
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA WAIFUATA NDANDA KIKAMILIFU. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/simba-waifuata-ndanda-kikamilifu.html. Terimakasih atas perhatiannya.