SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa ratiba ya mechi za awali za michuano ya klabu Afrika mwakani na mabingwa wa Tanzania wataanza na Ngaya de Mbe ya Comoro.
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho, Azam FC wao wataanzia Raundi ya kwanza ambako watamenyana na mshindi kati ya Mbabane Swallows ya Swaziland na Opara United ya Botswana.
Yanga wataanzia ugenini wikiendi ya Februari 10 hadi 12 kabla ya marudiano wikendi ya Februari 17 hadi 19, mwaka huu.
Azam wao wataanzia nyumbani Machi 10 hadi 12 na marudiano Machi 17 hadi 19 mwakani, 2017.
HABARI ZAIDI INAFUATIA…
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hagHIP
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA WAPEWA WABABE WA COMORO, AZAM YARUKA KIHUNZI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2016/12/yanga-wapewa-wababe-wa-comoro-azam.html. Terimakasih atas perhatiannya.