Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIUNGO mpya wa Yanga, Justin Zulu kutoka Zambia yuko hatarini kuukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu.
Hiyo inafuatia Hati yake ya Uhamisho wake wa Kimataifa (ITC) kutotumwa hadi sasa na maana yake bila kibali hicho hawezi kucheza.
Wakati ITC ya Zulu ikiwa haijafika, vibali vya wachezaji wawili wapya wa kigeni wa Simba kutoka Ghana, kipa Daniel Agyei na kiungo James Kotei wako huru kucheza Ligi Kuu kuanzia mzunguko wa pili unaoanza Jumamosi wiki hii.
Kaimu Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jonas Kiwia aliiambia Bin Zubeiry Sports - Online jana kwamba tayari ITC za wawili hao zimetumwa na wako huru kucheza kuanzia Jumamosi.
Justin Zulu (kushoto) yuko hatarini kuukosa mchezo wa kesho wa dhidi ya JKT Ruvu kwa sababu ITC yake haijatumwa
“ITC za wachezaji wote wapya wa kigeni wa Simba zimetumwa na maana yake huru kucheza. Ila hiyo ya Zulu bado haijafika hadi sasa”alisema Kiwia.
Ligi Kuu inatarajiwa kuanza kesho, Yanga ikianza na JKT Ruvu Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, wakati Simba itaanza na Ndanda FC mjini Mtwara Jumapili.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2hqX6Vz
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms