Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Simba, Frederick Blagnon ameondoka Dar es Salaam leo kwenda Oman kupitia kwao Ivory Coast kwa ajili ya mipango ya kujiunga na Fanja ya nchini humo.
Bin Zubeiry Sports - Online inafahamu kwamba Blagnon anakwenda kwao, Ivory Coast kushughulikia visa haraka ili aende Oman kufanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na Fanja.
Na Katibu wa Simba, Patrick Kahemele akathibitisha alipoulizwa; “Ni kweli kaondoka kwa ajili ya mipango ya kwenda kujiunga na timu moja ya Oman, bado hatujaijua.
Frederick Blagnon anakwenda Oman kwa ajili ya mipango ya kujiunga na Fanja
Atapitia kwao, baadaye atakwenda Ivory Coast,”amesema.
Blagnon aliyekuwa analipwa zaidi Simba, dola za Kimarekani 3,000 (zaidi ya Sh. Milioni 6) kwa mwezi alijiunga na Simba SC Julai mwaka jana kutoka African Sports ya kwao kwa dau la Sh. Milioni 100, ambazo zilitolewa na mfanyabiashara Mohamed Dewji anayetaka kununua hisa kwenye klabu hiyo.
Hata hivyo, pamoja na kusajiliwa kwa dau kubwa na kulipwa mshahara mkubwa, mchezaji huyo ameshindwa kung’ara kwenye kikosi cha timu hiyo hata Simba imeridhia mpango wa kumuuza Oman.
Na hiyo inafuatia timu kuimarisha safu yake ya ushambuliaji katika dirisha dogo Desemba kwa kumsajili mchezaji Mtanzania, Juma Luizio mwenye uzoefu wa mashindano makubwa kutoka Zesco United ya Zambia.
Pamoja na Luizio aliyekwenda Zambia akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro, Simba SC imemsajili kiungo mshambuliaji chipukizi, Pastory Athanas kutoka Stand United ya Shinyanga, ambaye naye ameanza vizuri.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2izPn7C
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang BLAGNON WA SIMBA ATIMKIA UARABUNI. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/blagnon-wa-simba-atimkia-uarabuni.html. Terimakasih atas perhatiannya.