MSHAMBULIAJI Asamoah Gyan ameipeleka Ghana Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika huku Uganda ikiwa timu ya kwanza kuhakikishiwa safari ya kurejea nyumbani baada ya hatua ya makundi.
Gyan alifunga bao pekee katika mchezo wa kwanza wa Kundi D dakika ya 21 akimalizia krosi ya Jordan Ayew, Black Stars ikiilaza 1-0 Mali.
Misri ikaitupa nje Uganda kwa bao pekee la mtokea benchi Abdallah El Said dakika ya 89.
mabingwa mara wa AFCON, Ghana ambao pia ni washindi wa pili wa mwaka 2015 wanakuwa timu ya pili kujihakikishia Robo Fainali hadi sasa baada ya Senegal.
Michuano hiyo inaendelea leo kwa wenyeji Gabon kumenyana na Cameroon katika mchezo wa Kundi A mjini Libreville ambao wanatakiwa lazima washinde ili kwenda Robo Fainali.
Wakifungwa watatolewa na wakitoa sare itabidi wasikilizie matokeo ya mechi nyingine ya mwisho ya kundi hilo kati ya Burkina Faso na Guinea-Bissau.
Rais wa Gabon, Ali Bongo aliwatembelea wachezaji jana na kipa Didier Ovono akasema: "Rais ametupa hamasa kuelekea mechi hiyo. Hiyo itakuwa fainali yetu ya kwanza."
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2iZvGD1
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang GYAN AIPELEKA GHANA ROBO FAINALI AFCON, UGANDA YATOLEWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/gyan-aipeleka-ghana-robo-fainali-afcon.html. Terimakasih atas perhatiannya.