Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
LIGI ya wanawake ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano Januari 25, mwaka huu kwa michezo sita – mitatu kwa kila kundi.
Kundi A, linatarajiwa kuna na mchezo kati ya JKT Queens Dar es Salaam na Mburahati Queens pia ya jijini utakaofanyika kwenye Uwanja wa Karume, Ilala.
Kadhalika Viva Queens ya Mtwara itakuwa mwenyeji wa Evergreen ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara wakati Mlandizi ya mkoani Pwani itakuwa mgeni wa Fair Play katika mchezo utakaofanyika Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
Kwa upande Kundi B, Sisterz ya Kigoma itaikaribisha na Baobab ya Dodoma kwenye mfululizo wa ligi hiyo. Mchezo huo utafanyika Uwanja wa Lake Tanganyika.
Mchezo mwingine utachezwa Uwanja wa Samora mkoani Iringa kati ya Panama na Majengo Women ya Singida ilihali Victoria Queens ya Kagera na Marsh Academy zitapambana hiyo kesho kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Kagera.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jlZBJa
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang LIGI YA WANAWAKE KUENDELEA KESHO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/ligi-ya-wanawake-kuendelea-kesho.html. Terimakasih atas perhatiannya.