Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Athumani Machuppa amesema si rahisi Tanzania kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 kama baadhi wanavyofikiria.
Baada ya Taifa Stars kupangwa Kundi L kufuzu AFCON mwaka 2019 nchini Cameroon pamoja na timu za Uganda, Cape Verde na Lesotho wiki iliyopita mjini Libvreville, Gabon wengi wanaamini njia nyeupe kwenda Cameroon 2019.
Lakini Machuppa anasema; “Kama tunataka kwenda Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019 lazima tujipange haswa,”.
Akifafanua mchezaji huyo wa zamani wa Simba, Al Hemria, Sharjah za Dubai, Atraco FC ya Rwanda, Aalborg FF ya Denmark na Vasalund IF ya Sweden, amesema kujipanga ni kwa maandalizi, kwani viwango vya wapinzani wetu katika Kundi L si vya kubeza.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2iN3tiZ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MACHUPPA: ILI KWENDA AFCON TUJIPANGE HASWA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/machuppa-ili-kwenda-afcon-tujipange.html. Terimakasih atas perhatiannya.