Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
MWANDISHI wa Habari za michezo wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, Amina Athumani amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar.
Amina alikuwa visiwani Zanzibar kikazi, kuripoti michuano ya Kombe la Mapinduzi na Mwenyezi Mungu akamuongoza kuifanya kazi yake vizuri mwanzo hadi mwisho.
Usiku wa kuamkia safari ya kurejea Dar es Salaam Jumamosi ndipo Amina aliyekuwa ana uja uzito wa miezi saba alipoanza kusumbuliwa kiafya.
Amina Athumani amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar
Na inaelezwa asubuhi wakati anaelekea kwenye boti kurejea Dar es Salaam alianguka na kupelekwa hospitali binafsi, baadaye akahamishiwa Mnazi Mmoja. Siku hiyo hiyo Amina akajifungua mtoto ambaye kwa bahati mbaya alikwishafariki dunia.
Na usiku wa kuamkia leo naye amefariki pia. Taarifa zaidi za msiba huo zinatarajiwa baadaye kutoka kwa wahusika, hususan familia ya marehemu na waajiri wake, Uhuru Publication Limited. Mungu ampumzishe kwa amani Amina Athumani.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jS5sau
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms