Na Mwandishi Wetu, MBEYA
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesema kwamba Yanga inahitaji wachezaji wawili wa kuchezesha timu ili kuwa na uwiano mzuri kikosini.
Ngassa ambaye kwa sasa anachezea Mbeya City, alisema leo katika mahojiano na Bin Zubeiry Sports - Online kwamba Yanga inahitaji wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuuchezea mpira na kutoa pasi za mwisho.
“Ukiangalia Yanga wanavyocheza kwa sasa, unaona kabisa inakoa watu kama wawili wa kuchezea mpira na kutoa pasi za mwisho kama alivyo Niyonzima (Haruna). Ili wawe na uwiano mzuri katika timu, lazima wawapete hao watu,”alisema.
Mrisho Ngassa amesema Yanga inakosa wachezaji wawili muhimu kikosini mwake
Maoni hayo ya Ngassa yanafuatia Yanga kufanya vibaya katika michuano ya Kombe la Mapinduzi wakitolewa na Simba SC kwa penalti 4-2 Jumanne usiku Uwanja wa Amaan, Zanzibat baada ya sare ya 0-0 ndani ya dakika 90.
“Mechi ilikuwa nzuri, Simba waliwazidi katikati Yanga, ambao walikuwa wanacheza mipira mirefu kumtumia Msuva (Simon) peke yake, hivyo Simba wakagundua njia hiyo, baada ya kusogea pembeni mipango wakauwa,”alisema.
Pamoja na hayo, Ngassa alisema kwamba wachezaji wengi wa Yanga kwa sasa wamechoka baada kucheza mashindano mengi mfululizo msimu uliopita, hivyo wengi wao miili yao imechoka.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jzFxjB
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang NGASSA: YANGA INAKOSA WACHEZAJI WAWILI MUHIMU SANA. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/ngassa-yanga-inakosa-wachezaji-wawili.html. Terimakasih atas perhatiannya.