Na Mwandishi Wetu, DAE ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta usiku wa juzi alifunga bao lake la kwanza mwaka huu na la 10 tangu ajiunge na KRC Genk ya Ubelgiji.
Samatta alifunga bao pekee katika ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya As Eupen kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji Uwanja wa Kehrweg mjini Eupen.
Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Tanzania, ijulikanayo kama Taifa Stars kwa jina la utani, alifunga bao hilo dakika ya 82 akimalizia pasi ya kiungo wa Ukraine, Ruslan Malinovskiy.
Mbwana Samatta akiwa amebebwa juu na wenzake baada ya kufunga bao muhimu ugenini juzi
Hilo linakuwa bao lake la kwanza msimu huu na la 10 tangu ajiunge na Genk mwaka mmoja sasa
Huo ulikuwa mchezo wa 37 kwa Samatta tangu asajiliwe Genk Januari mwaka jana, 18 msimu uliopita na 19 msimu huu na kati ya hizo, ni michezo 18 tu ndiyo alianza, 10 msimu uliopita na nane msimu huu.
Mechi 19 kati ya hizo alitokea benchi, nane msimu uliopita na 11 msimu huu, wakati nane hakumaliza baada ya kutolewa, sita msimu uliopita na mbili msimu huu huku akiwa amefunga jumla ya mabao 10, manne msimu huu na sita msimu uliopita.
Kikosi cha KRC Genk kilikuwa: Bizot, Uronen, Colley, Dewaest, Castagne, Heynen/Berge dk45 Malinovskyi, Pozuelo, Trossard/Writers dk60, Bailey na Samatta.
AS Eupen: Crombrugge Al-Abdulrahman, Blondelle, Diallo, Wague/Cases dk84, Diagne, Luis Garcia, Lazare, Ocansey/Bassey dk65, Onyekuru na Mamadou.
VIDEO SAMATTA AKIZUNGUMZA BAADA YA MECHI
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2j45Fm0
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SAMATTA AFIKISHA MABAO 10 MWAKA MMOJA KRC GENK. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/samatta-afikisha-mabao-10-mwaka-mmoja.html. Terimakasih atas perhatiannya.