Na Mwandishi Wetu, MOROGORO
VINARA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba SC leo watajaribu kusogea mbali na wapinzani wao wakuu katika mbio za ubingwa, Yanga SC.
Simba SC watakuwa wageni wa Mtibwa Sugar katika mfululizo wa Ligi Kuu Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Na baada ya Yanga kushinda 1-0 dhidi ya wenyeji Maji Maji Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma jana, iliikaribia Simba kwa tofauti ya moja kutoka nne.
Sasa Simba leo watakuwa na jukumu la kupigania ushindi ili kurudisha gepu la pointi nne na kendelea kuongoza vizuri mbio za ubingwa wa Ligi Kuu wakiwaacha mbali mabingwa hao watetezi.
Lakini hilo halitarajiwi kuwa jepesi kutokana na hali halisi ya kikosi cha Mtibwa Sugar kwa sasa na dhamira yao ya kutotaka kupoteza mechi – pamoja na historia ya mechi za timu hizo, huwa kali na zisizotabirika.
Na tayari Mtibwa Sugar wamekwishasema kupitia kwa Msemaji wao maarufu, Thobias Kifaru kwamba; “Simba hawatoki Jamhuri”.
Lakini upande wa Simba napo, chini ya Kocha Mkuu, Mcameroon Joseph Marius Omog dhamira yao ni kucheza kila mechi kama fainali kuhakikisha wanashinda.
Omog anaamini Simba inakamiwa kila mechi na ili kushinda ni lazima kucheza kama fainali kwa kupigana kwa nguvu zote mwanzo hadi mwisho wa mchezo.
Na bila shaka hiyo ndiyo siri ya mafanikio ya Simba hata imeweza kuongoza Ligi Kuu kwa muda mrefu msimu huu.
Mchezo mwingine wa Ligi Kuu leo unatarajiwa kufanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kati ya wenyeji, Azam FC dhidi ya Mbeya City.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2juTC5v
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang SIMBA NA MTIBWA SUGAR NI KIVUMBI JAMHURI LEO. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/simba-na-mtibwa-sugar-ni-kivumbi.html. Terimakasih atas perhatiannya.