Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
MABINGWA watetezi, Yanga SC wamefanikiwa kwenda hatua ya 16 Bora ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya kuitoa Ashanti United kwa mabao 4-1 leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Hadi mapumziko, Yanga walikuwa mbele kwa mabao 2-0 yaliyofungwa na wachezaji wake nyota wa kigeni, Mrundi Amissi Tambwe na Mzimbabwe, Thabani Kamusoko.
Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Tambwe aliwainua vitini mashabiki wa Yanga dakika ya 19 kwa shuti la karibu na lango akimalizia krosi ya winga Simon Msuva.
Ashanti zamani ikijulikana kama Liverpool, ilikaribia kusawazisha dakika ya 25 kama si mchezaji wake, Rajab Mohammed kupiga nje.
Kuona hivyo Yanga wakaongeza kasi ya mashambulizi na kufanikiwa kupata bao la pili dakika ya 36, mfungaji Thabani Kamusoko baada ya kuuzuia mpira ulioletwa na Ashanti na kufumua shuti lililomshinda kipa Rajab Kaumbu.
Dakika saba tu baada ya kuanza kipindi cha pili, Yanga walifanikiwa kupata bao la pili lililofungwa na Msuva kwa penalti baada ya beki wa Ashanti, Suleiman Sultan kumuangvusha kinara huyo wa mabao wa Jangwani.
Ashanti ikafanikiwa kupata bao la kufutia machozi dakika ya 62 kupitia kwa Isasc Hassan aliyeunganisha krosi ya Sharif Mohammed
Kiungo aliyepandishwa kutoka kikosi cha pili, Yussuf Mhilu akaifungia Yanga bao la nne dakika ya 89 akimalizia pasi ya Emmanuel Martin baada ya kuingia kuchukua nafasi ya Msuva.
Kwa ujumla Yanga iliwazidi uwezo Ashanti wanaopambana katika Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara na walistahili ushindi huo.
Kikosi cha Yanga kilikuwa; Beno Kakolanya, Juma Abdul, Mwinyi Mngwali, Oscar Joshua, Andrew Vincent, Simon Msuva/Yussuf Mhilu dk82, Said Juma ‘Makapu’, Juma Mahadhi/Matheo Anthony dk78, Amissi Tambwe/Emmanuel Martin dk68 na Deus Kaseke.
Ashanti United; Rajab Kaumbu, Hussein Mkongo, Selemani Sultan, Patrick James, Peter Mutambuzi, Zam Kuffor, Abeid Kisiga, Sharif Mohammed, Isaac Hassan, Yahya Zaidi na Rajab Mohammed.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2jLvSKT
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang YANGA WAITANDIKA 4-1 ASHANTI NA KUITUPA NJE ASFC. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/01/yanga-waitandika-4-1-ashanti-na-kuitupa.html. Terimakasih atas perhatiannya.