Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha Simba kimeondoka asubuhi ya leo mjini Dar es Salaam kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Yanga Jumamosi.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Hajji Sunday Manara ameiambia Bin Zubeiry Sports – Online leo kwamba kikosi kimeondoka asubuhi ya leo kwenda visiwani humo.
“Timu imeondoka leo asubuhi kwenda Zanzibar, tutakuwa huko kwa wiki moja kabla ya kurudi Dar es Salaam kwa ajili ya mechi,”amesema Manara.
Simba imekwenda Zanzibar ikitoka kupata ushindi mnono katika Ligi Kuu, baada ya kuichapa 4-0 Njombe Mji Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam kufikisha pointi 15 baada ya kucheza mechi saba.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Hance Mabena, aliyesadiwa na Mohammed Mkono, wote Tanga na Abdallah Rashid wa Pwani, hadi mapumziko, mabao ya Simba yalifungwa na kiungo Muzamil Yassin mawili, Mganda Emmanuel Okwi na Mrundi, Laudit Mavugo ambaye kila mmoja alifunga bao moja.
from BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE http://ift.tt/2itpqsQ
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms
Terimakasih anda telah membaca artikel tentang MAPEMA TU, SIMBA TAYARI WAPO ZANZIBAR. Jika ingin menduplikasi artikel ini diharapkan anda untuk mencantumkan link https://viralsport.blogspot.com/2017/10/mapema-tu-simba-tayari-wapo-zanzibar.html. Terimakasih atas perhatiannya.