Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Mtibwa Sugar imeendelea kuimarika kufuatia kurejea kwa beki wake wa kushoto, Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ aliyekuwa anasumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu.
Katibu Msaidizi wa Mtibwa Sugar, Abubakar Swabur amesema kwamba Baba Ubaya ameungana na kikosi kambini Manungu, Turiani mkoani Morogoro kilichorejea kutoka Iringa ambako mwishoni mwa wiki kilivuna ushindi 1-0 mbele ya wenyeji, Lipuli Uwanja wa Samora, Iringa.
Swabur amesema kwamba baada ya kupona kwa Baba Ubaya, ni wachezaji wawili tu ambao wataendelea kukosekana Mtibwa Sugar ambao ni washam uliaji Kelvin Sabato anayesumbuliwa na maumivu ya nyonga na Stahmil Mbonde ambaye yupo kwao, Dar es Salaam kwa matatizo ya kifamilia.
Issa Rashid ‘Baba Ubaya’ (kushoto) amerejea mazoezini Mtibwa Sugar baada ya kupona maumivu ya kifundo cha mguu
Swabur amesema baada ya ushindi wa Iringa, sasa wanaelekeza nguvu zao kwenye mchezo wao ujao dhidi ya Njombe Mji FC utakaopigwa Manungu Complex Jumamosi wiki hii.
Kwa sasa Mtibwa Sugar inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu kwa pointi zake 24 baada ya kucheza michezo 13 ya Ligi Kuu, ikizidiwa pointi mbili na vinara Simba na Azam FC na yenyewe ikiwazidi kwa pointi tatu, mabingwa watetezi, Yanga SC.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2mLYyDE
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms