Na Mwandishi Wetu, ZANZIBAR
KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Mrundi Masud Juma Irambona leo amemthibitisha mshambuliaji mzoefu, John Raphael Bocco kuwa Nahodha mpya wa timu hiyo, kufuatia kuondoka kwa beki Mzimbabwe, Method Mwanjali.
Taarifa ya Simba SC iliyotolewa na Mkuu wake wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Hajji Sunday Manara imesema kwamba Bocco atakuwa anasaidiwa na beki wa pembeni, Mohammed Hussein 'Tshabalala' pamoja na kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto.
“Uthibitisho huo umeungwa mkono na uongozi wa klabu na unaamini utaongeza ari zaidi ndani ya timu, sambamba na nidhamu kwenye kikosi chetu,”imesema taarifa ya Manara.
Na uteuzi huo unafanyika katika siku ambayo Simba itamenyana na timu ya zamani ya Bocco, Azam FC usiku wa leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar katika mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi.
John Bocco rasmi anakuwa Nahodha mpya wa Simba SC baada ya kuondoka kwa beki Mzimbabwe, Method Mwanjali
Bocco aliye katika msimu wake wa kwanza Simba tangu ajiunge nayo kutoka Azam FC alikodumu kwa miaka 10 kwa sasa ametokea kuwa kinara wa mabao wa timu hiyo.
Na dhahiri katika kumuongezea morali azidi kuibeba timu hiyo, kocha Juma aliyejiunga na Simba Oktoba mwaka jana baada ya mafanikio yake katika Ligi Kuu ya Rwanda akiwa na Rayon Sport.
from BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE http://ift.tt/2AzBz2C
best mesothelioma law firms, mesothelioma attorneys, mesothelioma
lawyer, mesothelioma lawsuits, mesothelioma lawyers, mesothelioma
lawsuit, mesothelioma attorney, mesothelioma settlement, mesothelioma
lawsuit settlements, mesothelioma settlements, mesothelioma law firm,
lawyer mesothelioma, get a online mesothelioma law firm today,
mesothelioma claims, mesothelioma claim, malignant mesothelioma,
mesothelioma law, mesothelioma law firm california, mesothelioma
compensation, mesothelioma law firms, asbestos settlement, asbestos
claim, mesothelioma, asbestos lawsuit, asbestos lung cancer,
mesothelioma law suit, asbestos claims720, asbestos attorney,
mesothelioma lung cancer, mesothelioma causes, asbestos lawyer390,
mesothelioma cancer, asbestos lawsuits, asbestos lawyers, causes of
mesothelioma, asbestos cancer, mesothelioma law suits, what is
mesothelioma, law offices, mesothelioma symptoms